homepage

  • TUZO YA GAZETI LA MWANANCHI

    Msomaji wa Gazeti la Mwananchi akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika Januari 19-20 jijini Dodoma.

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI

    Makamu wa Rais, Philip Mpango akizundua machapisho ya Kiswahili Siku ya Kiswahili Duniani mwaka huu

KISWAHILI FOR FOREIGNERS

Learn From the source

Improve your communication skills by learning one of the biggest language in the world, You get know all aspects of Kiswahili language from speaking to writing all these you will get them here.
READ MORE
Swahili Hub itakupitisha kwenye mada mbalimbali za Kiswahili kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. Ukurasa wa Kiswahili kwa wenyeji unamuwezesha msomaji, mwanafunzi kuongeza maarifa kisha kuelewa mbinu za kufaulu mitihani ya Kiswahili.
Soma zaidi
Soma kazi mbalimbali za utafiti na ikisiri zilizoandikwa na wasomi pamoja na wanataaluma wa Kiswahili kutoka vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini Tanzania na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Soma zaidi
maktaba
Soma magazeti yetu ya Mwananchi,Mwanaspoti na Taifaleo. Pia vitabu vitabu vilivyoandikwa na waandishi mahiri hapa nchini na Afrika Mashariki. Ili kujifunza na kupanua maarifa katika lugha ya Kiswahili.
Soma zaidi
MATUKIO YA KISWAHILI

Waziri Mkuu Majaliwa aagiza bidhaa kuwekwa maelezo kwa Kiswahili

Gadi Solomon, Mwananchi gsolomon@mwananchi.co.tz Dar es Salaam. Serikali imeagiza kampuni zote zinazozalisha bidhaa hapa nchini kuhakikisha vifungashio vyake vinakuwa na ...
Soma zaidi

Tuzo ya Kiswahili Safal-Cornell Fasihi ya Afrika kutolewa Dar es Salaam

Gadi Solomon, Mwananchi gsolomon@mwananchipapers.co.tz Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la utoaji Tuzo ya Kiswahili ya ...
Soma zaidi

Uhuru uendane na malengo ya Watanzania

Leo ni Desemba 9, siku ambayo Watanzania tunaadhimisha Uhuru wa Tanganyika, nchi ambayo ilipoungana na Zanzibar ikaundwa Tanzania. Imetimia miaka ...
Soma zaidi

Somo la Kiswahili lang’ara darasa la saba

Na Aurea Simtowe Wakati Baraza la Mitihani la taifa (Necta) likitangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi mwaka 2022 leo, ...
Soma zaidi

Rais Samia atunukiwa shahada ya Uzamivu

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunukiwa udaktari wa heshima (PhD) ya Chuo Kikuu cha Dar es ...
Soma zaidi

Bakita yampa tuzo mwanafunzi bora Kiswahili Chuo Kikuu Tumaini

Na Nasra Abdallah Dar es Salaam. Baraza la Kiswahili Taifa (Bakita), limeanza utaratibu wa kuwatunuku tuzo wanafunzi wanaofanya vizuri somo ...
Soma zaidi