homepage

  • WADAU WA KISWAHILI NCHINI

    Katibu Mtendaji wa Bakita, Consolata Mushi akiwa na wadau wa Kiswahili.

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI

    Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na washindi wa tuzo za fasihi ya Afrika mwaka 2022.

KISWAHILI FOR FOREIGNERS

Learn From the source

Improve your communication skills by learning one of the biggest language in the world, You get know all aspects of Kiswahili language from speaking to writing all these you will get them here.
READ MORE
Swahili Hub itakupitisha kwenye mada mbalimbali za Kiswahili kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. Ukurasa wa Kiswahili kwa wenyeji unamuwezesha msomaji, mwanafunzi kuongeza maarifa kisha kuelewa mbinu za kufaulu mitihani ya Kiswahili.
Soma zaidi
Soma kazi mbalimbali za utafiti na ikisiri zilizoandikwa na wasomi pamoja na wanataaluma wa Kiswahili kutoka vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini Tanzania na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Soma zaidi
maktaba
Soma magazeti yetu ya Mwananchi,Mwanaspoti na Taifaleo. Pia vitabu vitabu vilivyoandikwa na waandishi mahiri hapa nchini na Afrika Mashariki. Ili kujifunza na kupanua maarifa katika lugha ya Kiswahili.
Soma zaidi
MATUKIO YA KISWAHILI

Maadhimisho ya Kiswahili 2023 kunongeshwa na Swahili Marathon Arusha

Gadi Solomon, Swahili Hub Dar es Salaam. Baraza la Kiswahili la Zanzibar kwa kushirikiana na Baraza la Kiswahili la Taifa ...
Soma zaidi

Washindi wa Tuzo ya Taifa Mwalimu Nyerere wazoa mamilioni

Juma Issihaka, Mwananchi Dar es Salaam. Washindi mbalimbali wamezawadiwa tuzo ya Taifa za Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu zilizoandaliwa na ...
Soma zaidi

Waandishi waitwa kushiriki Tuzo ya Fasihi ya Afrika 2023

Mwandishi Wetu, SwahiliHub Dar es Salaam. Waandaaji wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal-Cornell ya Fasihi ya Afrika wametangaza wito kwa ...
Soma zaidi

Waziri Mkuu Majaliwa aagiza bidhaa kuwekwa maelezo kwa Kiswahili

Gadi Solomon, Mwananchi gsolomon@mwananchi.co.tz Dar es Salaam. Serikali imeagiza kampuni zote zinazozalisha bidhaa hapa nchini kuhakikisha vifungashio vyake vinakuwa na ...
Soma zaidi

Tuzo ya Kiswahili Safal-Cornell Fasihi ya Afrika kutolewa Dar es Salaam

Gadi Solomon, Mwananchi gsolomon@mwananchipapers.co.tz Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la utoaji Tuzo ya Kiswahili ya ...
Soma zaidi

Uhuru uendane na malengo ya Watanzania

Leo ni Desemba 9, siku ambayo Watanzania tunaadhimisha Uhuru wa Tanganyika, nchi ambayo ilipoungana na Zanzibar ikaundwa Tanzania. Imetimia miaka ...
Soma zaidi