Improve your communication skills by learning one of the biggest language in the world, You get know all aspects of Kiswahili language from speaking to writing all these you will get them here.
Swahili Hub itakupitisha kwenye mada mbalimbali za Kiswahili kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. Ukurasa wa Kiswahili kwa wenyeji unamuwezesha msomaji, mwanafunzi kuongeza maarifa kisha kuelewa mbinu za kufaulu mitihani ya Kiswahili.
Soma kazi mbalimbali za utafiti na ikisiri zilizoandikwa na wasomi pamoja na wanataaluma wa Kiswahili kutoka vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini Tanzania na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Soma magazeti yetu ya Mwananchi,Mwanaspoti na Taifaleo. Pia vitabu vitabu vilivyoandikwa na waandishi mahiri hapa nchini na Afrika Mashariki. Ili kujifunza na kupanua maarifa katika lugha ya Kiswahili.
Gadi Solomon na Pelagia Daniel, Mwanachi Dar es Salaam. Baraza la Kiswahili la Taifa(BAKITA), limewatunu vyeti washereheshaji takribani 50 baada ... Soma zaidi
Elizabeth Edward, Mwananchi Dar es Salaam.Serikali imejipanga kushirikiana na sekta binafsi katika utekelezaji mpango wa kuitangaza lugha ya kiswahili na ... Soma zaidi
Gadi Solomon, Swahilihub gslomon@mwananchi.co.tz Dar es Salaam. Serikali imenunua vifaa vya ukalimani vyenye thamani ya Sh187.5 milioni ambavyo vitasaidia kuimarisha ... Soma zaidi
Subira Kawaga, SwahiliHub Dar es Salaam. Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa (Bakita), Consolata Mushi amewataka Watanzania ... Soma zaidi
Mwandishi Wetu, Nairobi RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ameyataka mataifa ya Bara la Afrika yatumie lugha ya Kiswahili kudhihirisha umoja ... Soma zaidi