Posted in Hadithi

Muuaji Asakwe-5

Baada ya kumaliza kuhakikisha hakuna mtu aliyemwona, ndipo John Bosho alipolitia moto gari lake na kuliondoa kwa mwendo wa taratibu, kuliingiza katika barabara kuu, kuelekea Tabata Mawenzi, nyumbani kwa Anita kutimiza azma yake ya kuuondoa uhai wake! Akiwa ndani ya gari huku akiendesha kwa mwendo wa wastani, alichomoa simu yake ya mkononi na kumpigia Anita kumtaarifu kuwa anakwenda hapo nyumbani kwake. Simu ikaanza kuita! ********          MAJIRA ya saa nane za mchana, Anita alikuwepo nyumbani kwake, Tabata Mawenzi. Wakati huo ndiyo alikuwa amepumzika kwenye sofa sebuleni, huku akiwa na mawazo mengi sana. Tokea akorofishane na mchumba wake, John Bosho, alikuwa hana…

Soma zaidi..
Posted in Hadithi

MUUAJI ASAKWE-4

Mtunzi ni: Patrick J. Massawe Utangulizi Mwanamke mrembo anauawa ndani ya bafu, nyumbani kwake, eneo la Tabata, Jijini Dar es Salaam. Kwanza kabisa, muuaji huyo katili alimtumia ujumbe wa vitisho muda mfupi tu kabla ya kutekeleza mauaji hayo. Pia, muuaji huyo alimbaka mrembo huyo kabla ya kumuua. Upelelezi wa Jeshi la Polisi, unafanyika mara moja. Msako mkali dhidi ya muuaji huyo unafanyika, na inagundulika siri nzito iliyojificha nyuma ya mapazia kuhusiana na kifo hicho chenye utata. Kama kawaida, mtunzi wako mahiri,  PATRICK J. MASSAWE anatiririka na hadithi hii ya kusisimua.     Fuatilia mpaka mwisho wake…  “Nzuri…karibu…” John Bosho akajitutumua na kumwambia. Lakini…

Soma zaidi..
Posted in Hadithi

Muuaji Asakwe-3

Mtunzi ni: Patrick J. Massawe Utangulizi Mwanamke mrembo anauawa ndani ya bafu, nyumbani kwake, eneo la Tabata, Jijini Dar es Salaam. Kwanza kabisa, muuaji huyo katili alimtumia ujumbe wa vitisho muda mfupi tu kabla ya kutekeleza mauaji hayo. Pia, muuaji huyo alimbaka mrembo huyo kabla ya kumuua. Upelelezi wa Jeshi la Polisi, unafanyika mara moja. Msako mkali dhidi ya muuaji huyo unafanyika, na inagundulika siri nzito iliyojificha nyuma ya mapazia kuhusiana na kifo hicho chenye utata. Kama kawaida, mtunzi wako mahiri,  PATRICK J. MASSAWE anatiririka na hadithi hii ya kusisimua.     Fuatilia mpaka mwisho wake… Getruda kwenye sofa lililokuwa pembeni. “Haya…nakaa..” Getruda…

Soma zaidi..
Posted in Hadithi

MUUAJI ASAKWE- 2

Mtunzi ni: Patrick J. Massawe Utangulizi Mwanamke mrembo anauawa ndani ya bafu, nyumbani kwake, eneo la Tabata, Jijini Dar es Salaam. Kwanza kabisa, muuaji huyo katili alimtumia ujumbe wa vitisho muda mfupi tu kabla ya kutekeleza mauaji hayo. Pia, muuaji huyo alimbaka mrembo huyo kabla ya kumuua. Upelelezi wa Jeshi la Polisi, unafanyika mara moja. Msako mkali dhidi ya muuaji huyo unafanyika, na inagundulika siri nzito iliyojificha nyuma ya mapazia kuhusiana na kifo hicho chenye utata. Kama kawaida, mtunzi wako mahiri,  PATRICK J. MASSAWE anatiririka na hadithi hii ya kusisimua.     Fuatilia mpaka mwisho wake… “Ndiyo, nitahama kumfuata mume.” “Je, ukichumbiwa na…

Soma zaidi..
Posted in Hadithi

MUUAJI ASAKWE-1

Mtunzi ni: Patrick J. Massawe Utangulizi Mwanamke mrembo anauawa ndani ya bafu, nyumbani kwake, eneo la Tabata, Jijini Dar es Salaam. Kwanza kabisa, muuaji huyo katili alimtumia ujumbe wa vitisho muda mfupi tu kabla ya kutekeleza mauaji hayo. Pia, muuaji huyo alimbaka mrembo huyo kabla ya kumuua. Upelelezi wa Jeshi la Polisi, unafanyika mara moja. Msako mkali dhidi ya muuaji huyo unafanyika, na inagundulika siri nzito iliyojificha nyuma ya mapazia kuhusiana na kifo hicho chenye utata. Kama kawaida, mtunzi wako mahiri,  PATRICK J. MASSAWE anatiririka na hadithi hii ya kusisimua.     Fuatilia mpaka mwisho wake… MCHANA  wa saa sita hivi, John…

Soma zaidi..
Posted in Hadithi

Usasa usasambu

Suala la utandawazi limekuwa ni jambo ambalo hatuwezi kuliepuka katika maisha yetu ya kila siku. Lakini suala hili limekuwa na matokeo hasi kwa watoto wetu wa kike na kupelekea kuwaathiri kimwili na kiakili. Kuingia kwa utandawazi kumewafanya vijana watumie muda wao mwingi kwenye mitandao ya kijamii na intaneti ambako wanajifunza mambo mengi ya hovyo. Utandawazi una faida nyingi katika maendeleo ya binadamu kijamii, kisiasa na hata kiuchumi ila kwa nchi nyingi za ulimwengu wa tatu utandawazi umekuwa ni kaa la moto kwani kila anayejaribu kulishika lazima limuunguze. Kwa kuona hayo yote mwandishi wa tamthiliya hii ameamua kuifungua macho jamii ili…

Soma zaidi..