Posted in Nahau

Nahau

na Pelagia Daniel 1.Mate ya fisi = Tamaa kupita kiasi2.Kata tamaa = Vunjika moyo kutokuwa      na hamu ya jambo fulani.3. Mbiu ya mgambo = Tangazo4.Mungu amemnyooshea kidole = Mungu amemuadhibu5.Mkubwa jalala = Kila  lawama hutupwa kwa mkubwa6.Mkaa jikoni= Mvivu wa kutembea7.Mungu si Athumani= Mungu hapendelei8.Paka mafuta kwa mgongo wa chupa = Danganya9.Usiwe kabaila  = Usichume tokana na jasho la mwingine10.Usiwe kupe = Fanya kazi

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Nahau

1.Maneno ya uwani = Maneno yasiyo na      maana au porojo2.Mate ya fisi = Tamaa kupita kiasi3.Kata tamaa = Vunjika moyo kutokuwa      na hamu ya jambo fulani.4. Mbiu ya mgambo = Tangazo5.Mungu amemnyooshea kidole = Mungu amemuadhibu6.Mkubwa jalala = Kila  lawama hutupwa kwa mkubwa7.Mkaa jikoni= Mvivu wa kutembea8.Mungu si Athumani= Mungu hapendelei9.Paka mafuta kwa mgongo wa chupa = Danganya10.Usiwe kabaila  = Usichume tokana na jasho la mwingine11.Usiwe kupe = Fanya kazi

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Nahau

na Pelagia Daniel 1.Usiwe bwanyenye = Usichume kwa vitega uchumi vyake.2. Usiwe na mirija = Usinyonye wenzako3.Utawala msonga= Utawala wa wachache4.Usiwe nyang’au = Nchi moja kuifanyia nyingine  ubaya na udhulumati.5.Usiwe kikaragosi = Nchi kuwa kibaraka wa nchi kubwa.6.Usiwe chui katika ngozi ya kondoo=Kujifanya rafiki kumbe ni adui7.Kutoa ya mwaka =Kufanya jambo zuri na la pekee8.Kumpa mtu ukweli wake = Kumwambia mtu wazi ubaya wake.9.Pua kukaribiana kushikana na uso =Kukunja uso kwa hasira10.Kusema kutoka moyono=Kunena kilicho kweli

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Nahau

na Pelagia Daniel 1.Kwa udi na uvumba= Tekeleza jambo  kwa namna yoyote ile iwezekanavyo 2.Piga jeki= Toa msaada kwa mtu hasa pale anapokuwa  amekwama  (kibiashara au kifedha). 13.Tumbo moto= Hofu, wasiwasi  14.Tupa karata = bahatisha,  15.Piga kitabu= soma sana, soma kwa bidi   16.Vua macho= Tazama kwa makini, sehemu/mahali    17. Vunja mbavu= Chekesha sana    18. Vuta pumzi= Pata mapumziko     19. Weka uzibe= Zuia jambo nyima mtu     20. Zunguka mbuyu= Toa rushwa/pita mlango wa nyuma.

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Nahau

na Pelagia Daniel 1.Kujipalia mkaa =  Ujitia matatani2.Kumeza au kumezea mate = Kutamani3.Kumuuma mtu sikio = Kumnong’oneza      mtu jambo la siri4.Kumpa nyama ya ulimi =     Kumdanganya mtu kwa maneno     matamu5.Kumchimba mtu  = Kumpeleleza mtu      siri yake6.Kutia chumvi  katika mazungumzo  =      Uongea habari za uwongo7.Vunjika moyo = Kata tamaa8.Kata maini = Kutia uchungu9. Kujikosoa = Kujisahihisha10.Kutia utambi  = Kuchochea ugomvi

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Jifunze nahau za lugha ya Kiswahili na mwalimu wa Swahilihub

Fyata mkia – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni – Ana alama ya mapigo ya Fimbo mgongoni Hamadi kibindoni – Akiba iliyopo kibindoni Hawapikiki chungu kimoja – Hawapatani kamwe Kupika majungu – Kufanya mkutano wa siri Kumpiga [kumvika] kilemba cha ukoka – Kumsifu mtu kwa unafiki Kula mlungula – Kula rushwa Kupelekwa miyo – Kutiwa [kupelekwa] jandoni Amekuwa mwalimu   – msemaji sana  Amemwaga unga – Amefukuzwa kazi……Itaendelea kesho

Soma zaidi..