Posted in Nahau

Nahau za Kiswahili na maana zake; Kupiga vijembe…

Amekula chumvi nyingi          –  Ameishi miaka mingi [lived a long life]Ahadi ni deni                           – Timiza ahadi yako [be trustworthy; keep your promise]Amewachukua wazee wake    –  Anawatunza vizuri wazazi wake [taking good care of parents]Amekuwa popo                      – Yu kigeugeu [ a turncoat]Amevaa miwani                      – Amelewa pombe [chakari] [inebriation, a drunkard]Amekuwa mwalimu                 – Yu msemaji sana  [a talkative person]Amemwaga unga                     – Amefukuzwa kazi [ dismissed from employment]Ana ulimu wa upanga               – Ana maneno makali  [biting words]Ameongezwa unga                  – Amepandishwa cheo [promoted]Agizia risasi                             – Piga risasi  [shoot!]Chemsha bongo                      –…

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Fahamu nahau za Kiswahili na maana zake

1. Vimba kichwa -Kuwa mkaidi. 2. Kutia kiraka- Fichia siri mtu. 3. Kumlainisha mtu – Kumwambia mtu maneno ya ushawishi. 4. Kutia utambi –kuchochea jambo. 5. Kumeza maneno moyoni – kuficha siri 6. Kula njama – kufanya jambo kwa siri 7. Pangu pakavu tia mchuzi – maskini. 8. Kumwonyesha mgongo – kujificha. 9. Kuona cha mtema kuni – kupata mateso. 10. Maneno ya uani – maneno ya porojo. 11. Mkubwa jalala – kila lawama hupitia kwa mkubwa. 12. Mkaa jikono – mvivu wa kutembea. 13. Paka mafuta kwa mgongo wa chupa – danganya 14. Mtu mwenye ndimi mbili – kigeugeu…

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Nahau

na Pelagia Daniel 1.Mate ya fisi = Tamaa kupita kiasi2.Kata tamaa = Vunjika moyo kutokuwa      na hamu ya jambo fulani.3. Mbiu ya mgambo = Tangazo4.Mungu amemnyooshea kidole = Mungu amemuadhibu5.Mkubwa jalala = Kila  lawama hutupwa kwa mkubwa6.Mkaa jikoni= Mvivu wa kutembea7.Mungu si Athumani= Mungu hapendelei8.Paka mafuta kwa mgongo wa chupa = Danganya9.Usiwe kabaila  = Usichume tokana na jasho la mwingine10.Usiwe kupe = Fanya kazi

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Nahau

1.Maneno ya uwani = Maneno yasiyo na      maana au porojo2.Mate ya fisi = Tamaa kupita kiasi3.Kata tamaa = Vunjika moyo kutokuwa      na hamu ya jambo fulani.4. Mbiu ya mgambo = Tangazo5.Mungu amemnyooshea kidole = Mungu amemuadhibu6.Mkubwa jalala = Kila  lawama hutupwa kwa mkubwa7.Mkaa jikoni= Mvivu wa kutembea8.Mungu si Athumani= Mungu hapendelei9.Paka mafuta kwa mgongo wa chupa = Danganya10.Usiwe kabaila  = Usichume tokana na jasho la mwingine11.Usiwe kupe = Fanya kazi

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Nahau

na Pelagia Daniel 1.Usiwe bwanyenye = Usichume kwa vitega uchumi vyake.2. Usiwe na mirija = Usinyonye wenzako3.Utawala msonga= Utawala wa wachache4.Usiwe nyang’au = Nchi moja kuifanyia nyingine  ubaya na udhulumati.5.Usiwe kikaragosi = Nchi kuwa kibaraka wa nchi kubwa.6.Usiwe chui katika ngozi ya kondoo=Kujifanya rafiki kumbe ni adui7.Kutoa ya mwaka =Kufanya jambo zuri na la pekee8.Kumpa mtu ukweli wake = Kumwambia mtu wazi ubaya wake.9.Pua kukaribiana kushikana na uso =Kukunja uso kwa hasira10.Kusema kutoka moyono=Kunena kilicho kweli

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Nahau

na Pelagia Daniel 1.Kwa udi na uvumba= Tekeleza jambo  kwa namna yoyote ile iwezekanavyo 2.Piga jeki= Toa msaada kwa mtu hasa pale anapokuwa  amekwama  (kibiashara au kifedha). 13.Tumbo moto= Hofu, wasiwasi  14.Tupa karata = bahatisha,  15.Piga kitabu= soma sana, soma kwa bidi   16.Vua macho= Tazama kwa makini, sehemu/mahali    17. Vunja mbavu= Chekesha sana    18. Vuta pumzi= Pata mapumziko     19. Weka uzibe= Zuia jambo nyima mtu     20. Zunguka mbuyu= Toa rushwa/pita mlango wa nyuma.

Soma zaidi..