Category: Nahau
Jifunze nahau za lugha ya Kiswahili na mwalimu wa Swahilihub
Fyata mkia – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni – Ana alama ya mapigo ya Fimbo mgongoni Hamadi kibindoni – Akiba iliyopo kibindoni Hawapikiki chungu kimoja – Hawapatani kamwe Kupika majungu – Kufanya mkutano wa siri Kumpiga [kumvika] kilemba cha ukoka – Kumsifu mtu kwa unafiki Kula mlungula – Kula rushwa Kupelekwa miyo – Kutiwa [kupelekwa] jandoni Amekuwa mwalimu – msemaji sana Amemwaga unga – Amefukuzwa kazi……Itaendelea kesho
Jifunze Nahau za lugha ya Kiswahili na Mwalimu wa Swahilihub
1.Kumpa mtu ukweli wake-Kumwambia mtu wazi 2.Pua kukaribiana kushikana na uso-Kukunja uso kwa hasira 3. Sina hali- Sijiwezi 4.Kupiga uvivu – Kukaa tu bila kazi 5.Kupiga kubwa -Kwenda moja kwa moja 6.Kumwekea mtu deko-Kulipiza kisasi 7.Mtu mwenye ndimi mbili-Kigeugeu 8.Miamba ya mitishamba-Wanga hodari wa kienyeji 9.Kupiga supu-Tegea 10.Kupiga mali- shokaGawana 11.Amekula chumvi nyingi-Ameishi miaka mingi 12.Ahadi ni deni -Timiza ahadi yako 13.Amewachukua wazee wake – Anawatunza vizuri wazazi wake 14.Amekuwa popo – Yu kigeugeu 15.Amevaa miwani- Amelewa pombe [chakari]
Jifunze nahau za Kiswahili na Mwalimu wa SwahiliHub
1. Amekula chumvi nyingi=ameishi miaka. mingi2. Ana mkono wa birika – mtu mchoyo3.Ametutupa mkono – amefariki, amekufa4.Ameaga dunia – amekufa, amefariki5.Amevaa miwani – amelewa6.Amepiga kite – amependeza7.Amepara jiko – kaoa8.Amefumga pingu za maisha – ameolewa9.Anawalanda wazazi wake – kawafanana wazazi wake kwa sura10. Kawachukua wazazi wake – anafanana na wazazi wake kwa sura na tabia.
Jifunze nahau za Kiswahili na mwalimu wa Swahilihub
Gad Solomoni (Mwalimu wa Kiswahili ……BA kiswahili) simu + 255 712127912 Amekuwa popo – Yu kigeugeu Amevaa miwani – Amelewa pombe Amekuwa mwalimu – Yu msemaji sana Amemwaga unga – Amefukuzwa kazi Ana ulimu wa upanga – Ana maneno makali Ameongezwa unga – Amepandishwa cheo Agizia risasi – Piga risasi Chemsha bongo – Fikiri kwa makini Kuchungulia kaburi – Kunusurika kifo Fyata mkia – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni -Ana alama ya mapigo ya Fimbo mgongoni Hamadi kibindoni – Akiba iliyopo kibindoni Hawapikiki chungu kimoja -Hawapatani kamwe Kupika majungu – Kufanya mkutano wa siri Kumpiga [kumvika] kilemba cha ukoka – Kumsifu mtu…
Jifunze nahau za Kiswahili kutoka kwa Mwalimu wa Swahilihub
Gadi Solomon (Mwalimu wa Kiswahili kwa wageni…BA-Kiswahili) Simu +255 712127912 Whatsapp Amekula chumvi nyingi – Ameishi miaka mingi Ahadi ni deni – Timiza ahadi yako Amewachukua wazee wake – Anawatunza vizuri wazazi wake Amekuwa popo – Yu kigeugeu Amevaa miwani – Amelewa pombe Amekuwa mwalimu – Yu msemaji sana Amemwaga unga – Amefukuzwa kazi Ana ulimu wa upanga – Ana maneno makali Ameongezwa unga – Amepandishwa cheo Agizia risasi – Piga risasi Chemsha bongo – Fikiri kwa makini Kuchungulia kaburi – Kunusurika kifo Fyata mkia – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni – Ana alama ya mapigo ya fimbo mgongoni Hamadi…
Mungu amemunyooshea kidole
Nahau hii ina maana ya mungu amwemwadhibu.
Maoni Mapya