Category: Nahau
Jifunze Nahau za lugha ya Kiswahili na Mwalimu wa Swahilihub
1.Kumpa mtu ukweli wake-Kumwambia mtu wazi 2.Pua kukaribiana kushikana na uso-Kukunja uso kwa hasira 3. Sina hali- Sijiwezi 4.Kupiga uvivu – Kukaa tu bila kazi 5.Kupiga kubwa -Kwenda moja kwa moja 6.Kumwekea mtu deko-Kulipiza kisasi 7.Mtu mwenye ndimi mbili-Kigeugeu 8.Miamba ya mitishamba-Wanga hodari wa kienyeji 9.Kupiga supu-Tegea 10.Kupiga mali- shokaGawana 11.Amekula chumvi nyingi-Ameishi miaka mingi 12.Ahadi ni deni -Timiza ahadi yako 13.Amewachukua wazee wake – Anawatunza vizuri wazazi wake 14.Amekuwa popo – Yu kigeugeu 15.Amevaa miwani- Amelewa pombe [chakari]
Jifunze nahau za Kiswahili na Mwalimu wa SwahiliHub
1. Amekula chumvi nyingi=ameishi miaka. mingi2. Ana mkono wa birika – mtu mchoyo3.Ametutupa mkono – amefariki, amekufa4.Ameaga dunia – amekufa, amefariki5.Amevaa miwani – amelewa6.Amepiga kite – amependeza7.Amepara jiko – kaoa8.Amefumga pingu za maisha – ameolewa9.Anawalanda wazazi wake – kawafanana wazazi wake kwa sura10. Kawachukua wazazi wake – anafanana na wazazi wake kwa sura na tabia.
Jifunze nahau za Kiswahili na mwalimu wa Swahilihub
Gad Solomoni (Mwalimu wa Kiswahili ……BA kiswahili) simu + 255 712127912 Amekuwa popo – Yu kigeugeu Amevaa miwani – Amelewa pombe Amekuwa mwalimu – Yu msemaji sana Amemwaga unga – Amefukuzwa kazi Ana ulimu wa upanga – Ana maneno makali Ameongezwa unga – Amepandishwa cheo Agizia risasi – Piga risasi Chemsha bongo – Fikiri kwa makini Kuchungulia kaburi – Kunusurika kifo Fyata mkia – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni -Ana alama ya mapigo ya Fimbo mgongoni Hamadi kibindoni – Akiba iliyopo kibindoni Hawapikiki chungu kimoja -Hawapatani kamwe Kupika majungu – Kufanya mkutano wa siri Kumpiga [kumvika] kilemba cha ukoka – Kumsifu mtu…
Jifunze nahau za Kiswahili kutoka kwa Mwalimu wa Swahilihub
Gadi Solomon (Mwalimu wa Kiswahili kwa wageni…BA-Kiswahili) Simu +255 712127912 Whatsapp Amekula chumvi nyingi – Ameishi miaka mingi Ahadi ni deni – Timiza ahadi yako Amewachukua wazee wake – Anawatunza vizuri wazazi wake Amekuwa popo – Yu kigeugeu Amevaa miwani – Amelewa pombe Amekuwa mwalimu – Yu msemaji sana Amemwaga unga – Amefukuzwa kazi Ana ulimu wa upanga – Ana maneno makali Ameongezwa unga – Amepandishwa cheo Agizia risasi – Piga risasi Chemsha bongo – Fikiri kwa makini Kuchungulia kaburi – Kunusurika kifo Fyata mkia – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni – Ana alama ya mapigo ya fimbo mgongoni Hamadi…
Mungu amemunyooshea kidole
Nahau hii ina maana ya mungu amwemwadhibu.
Kumpa nyama ya ulimi
Nahau hii ina maana ya kumdanganya mtu kwa maneno.
Maoni Mapya