Posted in Nahau

Jifunze nahau za lugha ya Kiswahili na mwalimu wa Swahilihub

Fyata mkia – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni – Ana alama ya mapigo ya Fimbo mgongoni Hamadi kibindoni – Akiba iliyopo kibindoni Hawapikiki chungu kimoja – Hawapatani kamwe Kupika majungu – Kufanya mkutano wa siri Kumpiga [kumvika] kilemba cha ukoka – Kumsifu mtu kwa unafiki Kula mlungula – Kula rushwa Kupelekwa miyo – Kutiwa [kupelekwa] jandoni Amekuwa mwalimu   – msemaji sana  Amemwaga unga – Amefukuzwa kazi……Itaendelea kesho

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Jifunze Nahau za lugha ya Kiswahili na Mwalimu wa Swahilihub

1.Kumpa mtu ukweli wake-Kumwambia mtu wazi 2.Pua kukaribiana kushikana na uso-Kukunja uso kwa hasira 3. Sina hali- Sijiwezi  4.Kupiga uvivu – Kukaa tu bila kazi  5.Kupiga kubwa -Kwenda moja kwa moja 6.Kumwekea mtu deko-Kulipiza  kisasi  7.Mtu mwenye ndimi mbili-Kigeugeu  8.Miamba ya mitishamba-Wanga hodari wa kienyeji 9.Kupiga supu-Tegea  10.Kupiga mali- shokaGawana   11.Amekula chumvi nyingi-Ameishi miaka mingi 12.Ahadi ni deni -Timiza ahadi yako 13.Amewachukua wazee wake – Anawatunza vizuri wazazi wake 14.Amekuwa popo – Yu kigeugeu 15.Amevaa miwani- Amelewa pombe [chakari]   

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Jifunze nahau za Kiswahili na Mwalimu wa SwahiliHub

1. Amekula chumvi nyingi=ameishi miaka.    mingi2. Ana mkono wa birika – mtu mchoyo3.Ametutupa mkono – amefariki, amekufa4.Ameaga dunia – amekufa, amefariki5.Amevaa miwani – amelewa6.Amepiga kite – amependeza7.Amepara jiko – kaoa8.Amefumga pingu za maisha – ameolewa9.Anawalanda wazazi wake –    kawafanana wazazi wake kwa sura10. Kawachukua wazazi wake – anafanana       na wazazi wake kwa sura na tabia.

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Jifunze nahau za Kiswahili na mwalimu wa Swahilihub

Gad Solomoni (Mwalimu wa Kiswahili ……BA kiswahili) simu + 255 712127912 Amekuwa popo   – Yu kigeugeu Amevaa miwani   – Amelewa pombe Amekuwa mwalimu     – Yu msemaji sana  Amemwaga unga  – Amefukuzwa kazi Ana ulimu wa upanga    – Ana maneno makali  Ameongezwa unga     – Amepandishwa cheo Agizia risasi    – Piga risasi  Chemsha bongo   – Fikiri kwa makini  Kuchungulia  kaburi   – Kunusurika kifo   Fyata mkia   – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni    -Ana alama ya mapigo ya Fimbo mgongoni Hamadi kibindoni    – Akiba iliyopo kibindoni Hawapikiki chungu kimoja  -Hawapatani kamwe Kupika majungu     – Kufanya mkutano wa siri Kumpiga [kumvika] kilemba cha ukoka   –  Kumsifu mtu…

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Jifunze nahau za Kiswahili kutoka kwa Mwalimu wa Swahilihub

Gadi Solomon (Mwalimu wa Kiswahili kwa wageni…BA-Kiswahili) Simu +255 712127912 Whatsapp Amekula chumvi nyingi –  Ameishi miaka mingi Ahadi ni deni – Timiza ahadi yako Amewachukua wazee wake    –  Anawatunza vizuri wazazi wake Amekuwa popo   – Yu kigeugeu Amevaa miwani   – Amelewa pombe   Amekuwa mwalimu  – Yu msemaji sana  Amemwaga unga    – Amefukuzwa kazi Ana ulimu wa upanga  – Ana maneno makali  Ameongezwa unga  – Amepandishwa cheo Agizia risasi – Piga risasi  Chemsha bongo – Fikiri kwa makini  Kuchungulia  kaburi – Kunusurika kifo   Fyata mkia – Nyamaza Fimbo zimemwota mgongoni – Ana alama ya mapigo ya fimbo mgongoni Hamadi…

Soma zaidi..
Posted in Nahau

Mungu amemunyooshea kidole

Nahau hii ina maana ya mungu amwemwadhibu.

Soma zaidi..