Jifunze nahau za Kiswahili na Mwalimu wa SwahiliHub

1. Amekula chumvi nyingi=ameishi miaka.
    mingi
2. Ana mkono wa birika – mtu mchoyo
3.Ametutupa mkono – amefariki, amekufa
4.Ameaga dunia – amekufa, amefariki
5.Amevaa miwani – amelewa
6.Amepiga kite – amependeza
7.Amepara jiko – kaoa
8.Amefumga pingu za maisha – ameolewa
9.Anawalanda wazazi wake –
    kawafanana wazazi wake kwa sura
10. Kawachukua wazazi wake – anafanana
       na wazazi wake kwa sura na tabia.

Author: Gadi Solomon