
1.Kumpa mtu ukweli wake-Kumwambia mtu wazi
2.Pua kukaribiana kushikana na uso-Kukunja uso kwa hasira
3. Sina hali- Sijiwezi
4.Kupiga uvivu – Kukaa tu bila kazi
5.Kupiga kubwa -Kwenda moja kwa moja
6.Kumwekea mtu deko-Kulipiza kisasi
7.Mtu mwenye ndimi mbili-Kigeugeu
8.Miamba ya mitishamba-Wanga hodari wa kienyeji
9.Kupiga supu-Tegea
10.Kupiga mali- shokaGawana
11.Amekula chumvi nyingi-Ameishi miaka mingi
12.Ahadi ni deni -Timiza ahadi yako
13.Amewachukua wazee wake – Anawatunza vizuri wazazi wake
14.Amekuwa popo – Yu kigeugeu
15.Amevaa miwani- Amelewa pombe [chakari]
Maoni Mapya