Mwenye dada hakosi shemeji

Na Pelagia Daniel

  1. Mwenye dada hakosi shemeji, methali hii hutumiwa kuonyesha kwamba mtu mwenye kitu ambacho wengine wanakihitaji, hatakosa wa kufaa kukiomba.
  2. Lililopo ndilo lisemwalo, jambo kama halipo hakuna atakayelisema kwa sababu litakalosemwa ni lile lililopo tu. Methali hii ina maana ya kila kinachosema ni kile ambacho kipo.
  3. Liandikwalo halifutiki, methali hii ina maana ya kila kinachoandikwa ni tofauti na unachokisema kwa sababu unachokisema kinaweza futika lakini sio kilichopo kwenye maandishi.

Author: Gadi Solomon