na Pelagia Daniel
1.Kujipalia mkaa = Ujitia matatani
2.Kumeza au kumezea mate = Kutamani
3.Kumuuma mtu sikio = Kumnong’oneza
mtu jambo la siri
4.Kumpa nyama ya ulimi =
Kumdanganya mtu kwa maneno
matamu
5.Kumchimba mtu = Kumpeleleza mtu
siri yake
6.Kutia chumvi katika mazungumzo =
Uongea habari za uwongo
7.Vunjika moyo = Kata tamaa
8.Kata maini = Kutia uchungu
9. Kujikosoa = Kujisahihisha
10.Kutia utambi = Kuchochea ugomvi
Maoni Mapya