Nahau

na Pelagia Daniel

1.Kwa udi na uvumba= Tekeleza jambo  kwa namna yoyote ile iwezekanavyo

2.Piga jeki= Toa msaada kwa mtu hasa pale anapokuwa  amekwama  (kibiashara au kifedha).

13.Tumbo moto= Hofu, wasiwasi 

14.Tupa karata = bahatisha, 

15.Piga kitabu= soma sana, soma kwa bidi  

16.Vua macho= Tazama kwa makini, sehemu/mahali   

17. Vunja mbavu= Chekesha sana   

18. Vuta pumzi= Pata mapumziko    

19. Weka uzibe= Zuia jambo nyima mtu    

20. Zunguka mbuyu= Toa rushwa/pita mlango wa nyuma.

Author: Gadi Solomon