-
#LIVE:Bunge la 12 : Mkutano wa 11, Kikao cha 35
Bunge la 12 : Mkutano wa 11, Kikao cha 35
#bunge #bungelive #bungenidodoma -
MGUNDA avunja ukimya amjibu vikali ALI KAMWE " Ukipewa MGUNDA na ANDAZI unachangua Nini? "
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #mbowe -
Mbunge Njau ajilipua "Hatuwezi kwenda hivi, Wanafanya kazi kwa kinyongo hawawezi kusema"
Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Felista Njau akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2023/24 leo jumatatu, Mei 29, 2023. -
Sakata la Mfalme Zumaridi akiwa MAGEREZA larindima Bungeni
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Neema Lugangira akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2023/24 leo jumatatu, Mei 29, 2023. -
Mbunge Tadayo achochea moto Bungeni "Imefika wakati Wizara ichukue hatua, Malalamiko yamekuwa mengi"
Mbunge wa Mwanga (CCM) Joseph Tadayo akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2023/24 leo jumatatu, Mei 29, 2023. -
Mbunge kutoka Zanzibar alisimamisha Bunge latulia TULI "Kuna Milioni 110 na Milioni 44"
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2023/24 leo jumatatu, Mei 29, 2023. -
NOMA !!! Hotuba konki ya RAIS MPYA wa NIGERIA baada ya kuapishwa, Aweka wazi mikakati yake
Mwanasiasa mkongwe, Bola Tinubu ameapishwa leo Mei 29, 2023 kuwa Rais mpya wa Nigeria wakati Taifa hilo lenye watu wengi zaidi barani Afrika likipita kwenye changamoto za kiuchumi na kuzorota kwa usalama nchini humo.
Bola Tinubu alitangazwa kuwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa Februari 25, 2023 kwa kupata kura milioni 8.8 na kutimiza idadi ya kura inayohitajika kisheria ya theluthi mbili katika majimbo yote ya Nigeria.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #mbowe -
Mbunge ajilipua apewa taarifa mbili Bungeni; Sakata la Magari ya ZIMAMOTO
Mbunge wa Manyoni Mashariki (CCM) Dk Pius Chaya akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2023/24 leo jumatatu, Mei 29, 2023. -
Mtiti wa Polisi kukurupuka kutoka kwenye MIHOGO akipiga tochi gari la Mbunge "Alikuwa amelewa"
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Angelina Adam Malembeka akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2023/24 leo jumatatu, Mei 29, 2023. -
Mbunge acharuka Sakata la OCD kkutumia usafiri wa BODABODA "anafika amechafuka vumbi, Umeshindwa?"
Mbunge wa Msalala (CCM) Idi Kassim Idi amesema kuwa changamoto ya ukosefu wa magari ya Polisi umepelekea OCD wa Msalala kutumia bodaboda kwenda kufanya shughuli zake na klufika amechafuka huku akiomba wapatiwe magari ili kuondokana na changamoto hiyo.
Idi ameyasema hayo alipokuwa akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2023/24 leo jumatatu, Mei 29, 2023. -
#LIVE: Rais Samia akishiriki Sherehe za kuapishwa Rais Mteule wa Nigeria MHE. BOLA TINUBU
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #mbowe -
Ndege mpya ya mizigo ATCL yafanyiwa majaribio Marekani
Ndege kubwa ya mizigo ya Shirika la Ndege (ATCL), Cargo Boeing 767-300F yenye 5H-TCO katika uwanja wa ndege wa Paine Field nchini Marekani jana Mei 28, 2023 mchana baada ya kufanya majaribio kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Grant County.
Maoni Mapya