-
FCS kuendelea kuimarisha miradi ya wanawake nchini
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. -
Haya ndiyo majibu ya Dk Abbasi kuhusu wanafunzi wa kike kutokufanya vizuri
Msemaji Mkuu wa Sserikali, Dk Hassan Abbasi, amesema Serikali inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha kwamba wanafunzi wa kike na wao wanafanya vizuri kwenye masomo kama wenzao wa kiume. Amesema ukweli ni kwamba vyanzo vya kufeli masomo kwa watoto wa kike ni vingi kikiwemo cha dhana potofu kutoka kwa baadhi ya jamiii -
Dk Abbasi aunguruma kuhusu Corona ''Hakuna mtu aliyeanguka kwenye michezo, disko"
Serikali imewataka Watanzania watakaojisikia kuwa na dalili za ugonjwa wa korona kuwahi katika hospitali na vituo vya afya vilivyotengwa kwa ajili ya kupimwa.
“Kama nilivyosema huu ni ugonjwa ambao unaathiri kutokana na maingiliano ya watu kwa hiyo Tanzania tumetoa mwongozo vipo vituo na hospitali zimetengwa ukijisikia una dalili za korona tafadhali wahi ukapimwe uone hali yako,” Msemaji Mkuu wa Serikali Dk Hassan Abbas.
Ameyasema hayo mara baada ya kuulizwa swali na mmoja wa waandishi wa habari kuhusu watu wanaoilaumu Tanzania kwa kutotoa taarifa za ugonjwa wa korona katika mkutano aliouita kuelezea utekelezaji wa sekta ya elimu na maji.
Pia amewataka watu wasipime korona tu wakaacha magonjwa mengine ikiwemo Ukimwi, Malaria na matatizo ya moyo ambayo siku hizi watu hawapimi -
Haya hapa magari 12 ya mahindi yaliyozuiwa mpaka wa holili Kenya
Magari 12 yenye shehena ya mahindi tani 216, yamezuiwa Mpaka wa Holili,upande wa Kenya, kusubiri majibu ya vipimo vya sampuli zilizochukuliwa na mamlaka za Kenya.
Akizungumza leo Machi 8,2021, katika mpaka wa Holili,Meneja wa Forodha Mkoa wa Kilimanjaro,Edwin Iwato, amesema mahindi hayo yamezuiwa kuanzia Machi 5,mwaka huu na mpaka sasa bado wanasubiri majibu ya sampuli zilizochukuliwa. -
Wanawake walivyo washa moto TANAPA
Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Francis Masanja ameongoza wanawake kusherekea Siku ya Wanawake duniani kutembelea Hifadhi ya Taifa Tarangire . -
NI NOMA!!! Balaa la Wanajeshi, Polisi wakisheherekea siku ya wanawake duniani
UMOJA wa Wanawake wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama katika Mkoa wa Morogoro, wameunganisha nguvu ya pamoja na kuamua kufanya shughuli za kijamii ikiwemo kuhamasisha wanawake kutokata tamaa na kutoa misaada mbalimbali kwa wazee wasiojiweza na kina mama wajawazito ikiwa kusherekea siku ya wanawake Duniani.
Umoja huo wa wanawake unaoundwa na Majeshi ikiwemo Jeshi la Polisi,Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)Jeshi la Magereza, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ,Idara ya Uhamiaji,Jeshi la Wanamaji,kwa umoja wao walitembelea maeneo mbalimbali katika mikusanyiko ya wanawake na kupiga gwaride na kisha kuongea na wanawake hao ili kufanya kazi au biashara kwa kujituma kuweza kupata maendeleo. -
Kikosi cha Yanga kikirudi Dar
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. -
Kisa droo Kaze out Yanga,benchi lote lafumuliwa/Maxime atajwa msaidizi
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. -
Yanga waanika sababu za kufukuzwa kwa 'Cedric Kaze' na benchi lake
Mwenyekiti wa wa kamati ya Ufundi Yanga SCDominick Albinus amejitokeza na kuweka wazi sababu zilizopelekea kwa uongozi wa klabu hiyo kuchukuwa maamuzi ya kulifuta benchi la ufundi la klabu hiyo lililokuwa likiongozwa na Kocha Cendric Kaze na kueleza kuwa ni makubaliano yaliyoyafikiwa na pande zote mbili. -
TAARIFA !!!..Kaze atimuliwa Yanga SC | Benchi la ufundi lavunjwa
BAADA ya kuanza vibaya kwa timu yao katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara, uongozi wa klabu ya Yanga usiku huu wa leo Machi 7 umeamua kulivunja benchi lake la ufundi likiongozwa na Kocha Mkuu Cedric Kaze. -
MWANANCHI EXTRA:Gabo: Kapuni ilinifanya nipigwe taifa na kukosa huduma/ Amkubali Kiba kuliko Diamond
-
Msikie Cedric Kaze adai "Historia imejirudia" | Polisi Tz 1 - 1 Yanga SC
Maneno ya Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Cedric Kaze baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Polisi Tanzania kunako dimba la Sheikh Amri Abeid Arusha .
Maoni Mapya